HOTUBA YA RAIS KIKWETE DODOMA, TAREHE 30 AGOSTI, 2011
HOTUBA YA MH. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE BARAZA LA EID-EL-FITR, DODOMA, TAREHE 30 AGOSTI, 2011 Mheshimiwa Sheikh Issa bin Shaaban Simba, Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania, Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya BAKWATA; Wajumbe wa Baraza la Ulamaa; Waheshimiwa Masheikh na Viongozi wa BAKWATA; Waheshimiwa Viongozi wa Dini…