Maliasili na Tamisemi KUSHIRIKIANA KUBORESHA UKUSANYAJI WA MADUHULI YATOKANAYO NA MISITU
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MALIASILI NA UTALIITAARIFA KWA UMMA: Dar es Salaam, 13, April 2012: Wizara ya Maliasili na Utalii na TAMISEMIzimeazimia kushirikiana kwa karibu zaidi katika masuala ya kukusanya maduhuli ya Serikali yanayotokana na mazao ya misitu. Ili ukusanyaji ufanikiwe Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest Service –…
