LAUNCH OF PARTNERSHIP FOR NUTRITION IN TANZANIA

Dar es Salaam: More than 100 people including the Guest of Honour, the Honourable Prof. Jumanne Maghembe, Minister of Agriculture, Food and Cooperatives will be present at the launch of the Partnership for Nutrition in Tanzania (PANITA), a coalition of 90 civil society organisations across Tanzania. On the 4th of August Partnership for Nutrition in Tanzania will be formally…

Read More

Chadema Kuapisha watu na hatari ya usalama

Na John Kimbute BADO mjadala unaendelea kuhusu hatua ya wakuu wa majeshi ya ulinzi na usalama kutoa tamko rasmi kuwa hakuna atakayeruhusiwa kukataa matokeo, tamko ambalo limepata upinzani mkubwa kutoka kwa vikundi tofauti vya jamii, na kupelekwa malalamiko balozi mbalimbali. Inavyoelekea mabalozi au ofisi za kibalozi zilizopelekwa malalamiko hayo walipendelea kuwatuliza waliolalamika, wakiainisha matazamio yao kuwa uchaguzi ujao utakuwa…

Read More

BARUA YA WAZI KWA MASHEIKH

Mkataeni kabisa Dk. Slaa, mwambieni JK aanze kurekebisha uchumi Na Anil Kija KUFANYIKA kwa kongamano la kutoa mwelekeo wa uchaguzi mkuu lililopangwa wiki ya kuelekea uchaguzi mkuu wenyewe wiki inayofuata, linakumbusha usemi wa Kiingereza kuwa ‘he who laughs last laughs best,’ hivyo itakuwa ni siku ya kura ya turufu nani mshindi wa uchaguzi mkuu. Tayari maelekezo na ishara zote…

Read More

Sikika wants govt to cut down unnecessary expenditures amounting to Ths 272785628061

Sikika, Dar es SalaamTanzania : The electricity shortage pushes domestic production below its potential causing the loss of numerous jobs. This could lead to social unrest if the situation is not addressed soon. As the government struggles to cut down unnecessary expenditures and seeks for ways to re-allocate its budget to address the ongoing electricity crisis, Sikika provides an…

Read More

Agricultural relief efforts should also capitalize on existing social networks to distribute seeds m

*****Dar es Salaam******, 1 August 2011.* Seeds of local crop varieties must be included in relief-seed packages distributed to small-scale farmers after natural calamities if indigenous agricultural diversity is to rebound faster. Agricultural relief efforts should also capitalize on existing social networks to distribute seeds more effectively and efficiently. These are among the findings of a recent study looking…

Read More

Na Anil Kija

MJADALA umezuka kuhusu uwezekano wa kuapishwa kwa mgombea urais wa Chadema Dk. Wilibrod Slaa endapo anashinda katika uchaguzi mkuu hivi karibuni, wakati anaishi kinyumba na mwanamke mwenye ndoa halali. Tatizo lilianza pale makuhani waandamizi wa makanisa tofauti (na hata imamu mwandamizi wa jiji la Dar es Salaam) walipofika ofisini kwake, makao makuu ya Chadema, wakatoa rai ya kusafisha –…

Read More

Ministry moves to stop wild price fluctuations in Dar markets

The Ministry of Industries, Trade and Marketing has issued directives on people involved in the food products industry and buyers to seek out information given by the ministry in order to ensure that they make no errors in sales and purchasing decisions. The Communication Department of the ministry says it has prepared information for use by traders in city…

Read More

Is 900 billion sufficient to finance Kilimo Kwanza?

Theo Mushi Tanzania has adopted “Kilimo Kwanza” strategy to modernize the agricultural sector in order to increase the production of cash and food crops. It targeted to give priority to five regions which lead in production of grains which include Mbeya, Ruvuma, Iringa and Rukwa Corridor and the National Food basket. It will enable Tanzania to meet one of…

Read More

The thin line between media freedom and money speaks

Access to information has been a big challenge to journalists around the world. CHELU MATUZYA interviewed a number of members of the fourth estate who participated in a short course on Media Responsibility in Hamburg, Germany concerning the issue. This is what they said… GRACEY CHURUMANZU Journalist, The Zimbabwean Newspaper; Zimbabwe Journalists need a lot of support because they…

Read More