Tanzania inakusudia kuwatumia wataalamu wa Kitanzania walioko Diaspora

KUWATUMIA WATAALAMU WA KITANZANIA WALIOKO UGHAIBUNI (DIASPORA) NA NDANI YA NCHI KUJENGA UWEZO NA UFANISI WA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI MUHIMU ZA SERIKALI ______________________________ Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakusudia kuwatumia wataalamu wa Kitanzania walioko ndani ya nchi na wale walioko ughaibuni (Diaspora) katika kutekeleza mipango yake kadhaa yenye umuhimu kwa Taifa. Hapo awali, Serikali iliwatumia zaidi wataalamu…

Read More

The death of publishing

Internet intellectual Clay Shirky, writer, teacher, and consultant on the social and economic effects of Internet technologies speaks about the future of publishing. Clay is a professor at the renowned Interactive Telecommunications Program at NYU and author of two books, most recently Cognitive Surplus: Creativity and Generosity in a Connected Age. Clay is one of the foremost minds studying…

Read More

UFAFANUZI KUHUSU MIRADI YA UTAFUTAJI NA UVUNAJI WA GESI ASILIA NCHINI [1 Attachment]

*TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUFAFANUA KUHUSU MIRADI YA UTAFUTAJI NA UVUNAJI WA GESI ASILIA NCHINI* *1.0 UTANGULIZI* Wizara ya Nishati na Madini inapenda kutoa ufafanuzi wa miradi ya Gesi Asilia ambayo itatekelezwa kwa kushirikiana na wawekezaji katika Sekta ndogo ya Gesi Asilia na kueleza manufaa makubwa yatakayopatikana kwa wananchi wote wa Tanzania wakiwemo wale wa Mikoa ya Mtwara…

Read More

SALAAM ZA MWAKA MPYA ZA RAIS KIKWETE KWA WANANCHI

SALAAM ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE KWA WANANCHI, TAREHE 31 DESEMBA, 2012 Utangulizi Ndugu zangu, Watanzania Wenzangu; Ni furaha na faraja kubwa kuifikia siku hii adhimu ya kuuaga mwaka wa 2012 na kuukaribisha mwaka 2013. Ni jambo la bahati ambayo hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehma, kwa…

Read More

Africa to host global conference on plant viral disease in 2013

Scientists from across the world will gather in Arusha, Tanzania, for the 12th International Plant Virus Epidemiology (IPVE) symposium between January 28 and 1 February 2013. The meeting will provide researchers a platform to share the latest knowledge, brainstorm and draw a road map to contain the spread of plant virus diseases. The conference, with the theme: “Evolution, Ecology…

Read More

PRESS RELEASE

PRESS RELEASE OFID Governing Board approves new funds to boost socio-economic development in Africa The Governing Board of the OPEC Fund for International Development (OFID) has approved seven loans and three grants totaling over US$100 million to boost socio-economic development in 13 African countries VIENNA, Austria, December 14, 2012/ — The Governing Board of the OPEC Fund for International…

Read More

Private sector wish list to boost and transform horticulture subsector in Tanzania

Dar es Salaam; 12th December 2012 Tanzania’s horticultural industry investments and development faces multifaceted challenges that need to be urgently addressed through public private partnership for best solutions as matter of necessity. Participants at a horticulture stakeholders’ incentive meeting held in Dar es Salaam ( 7th December 2012) noted that inadequate support policies and regulatory framework exacerbated by poor…

Read More

HIV/AIDS EFFORT BY OLAM AND PARTNERS REACHES OUT TO OVER 234,000 PEOPLE ACROSS RURAL AFRICA

LONDON, United-Kingdom,** December 13, 2012/*– *In a drive to get Africa one step closer to zero new HIV infections, zero AIDS-related deaths and zero discrimination, global agri business Olam ( http://olamonline.com), along with NGO partners such as GIZ, EngenderHealth and Action Health Incorporated, has mobilised its supply chain network this month to get vital education and healthcare support to…

Read More