The an unproclaimed queen

  By Anthony Muchoki A mugumo tree has fallen A tree of life and love Wanjiru wa Bethuel Wanjiru wa Njuguna A rare gem of a woman A soul so beautiful So benevolent With a humble heart Full of goodness Yet queenly all her life   It was daylight Thika January 8, 2019 Grandma talking To her two daughters…

Read More

Staa anyimwa ruhusa ya kufanya mapenzi

Mike Sorrentino hakutarajia alichoambiwa na wakuu wa jela kwamba hataona undani wa mkewe kwa miezi 8 zaidi ya kupigwa kisi wakati atakapokuwa jela. Ameambiwa na wahusika kwamba muda wote atakaokuwa ameketi huko jela hatapewa faragha ya aina yoyote ile wakati mkewe atakapofika hapo ikimaananisha kwamba hawawezi kungonoana na mke wake huyo ambaye wamefunga ndoa hivi karibuni. Mume huyo mpya…

Read More

Sauti Sol waahidi utupu wao Arsenal ikishinda kisha.. wagwaya

    Na Mwandishi wetu Sauti Sol wamewatoa nishai wapenzi wao baada ya kushindwa kutekeleza ahadi ya kuwapa zawadi ya picha za uchi kama Arsenal itaichapa Chelsea  Katika majibizano na wapenzi wao katika mtandao wakali hao walisema kwamba  Arsenal ikimtandika Chelsea basi watapiga picha za utupui na kuziposti. Katika kipute kilichopigwa Derby  Jumapili, Arsenal iliichapa Chelsea 2-0  na kuwaacha…

Read More

“Ni na ndoto ya kupeleka muziki wangu nchi zaidi ya 50”- mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi

  *Anatamba na wimbo wa u mwema *Anatarajia kuzindua albam yake mwakani   Na Mwandishi wetu, Mwimbaji chipukizi Winnie Mbilingi kutoka Tanzania, amesema ana maono makubwa, ya kutoa album mwaka huu, ambayao itamplekeka  zaidi ya nchi 50. Winnie alianza safari yake ya uimbaji nyimbo za injili rasmi mwaka jana tu, anatamba na wimbo wa U Mwema, unaofanya visuri nchini…

Read More

Tanzania music rules Kenya air waves, now they want to put Diamond Platnumz and King Kiba out of the picture

  Beginning of the end?  Kenyan media to put Diamond Platnumz and King Kiba music out of the picture? Will it work? Time will tell By Paul Kamau Nakuru based Hero Radio • 99.0 Fm @Hero_Radio has announced that “in the Spirit of Patriotism, we will start playing 90% Kenyan Music. Out of that percentage will do 60% nationwide music…

Read More

Waziri aliyewahi kuwa msiri wa Raisi Julius Nyerere amefariki dunia

 Tanzania: ALIYEWAHI kuwa mkuu wa wilaya tofauti hapa nchini wakati wa serikali ya awamu ya kwanza na baadaye kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ,Waziri Juma Waziri amefariki dunia akitibiwa hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es salaam Juzi na anatarajiwa kuzikwa leo nyumbani kwao Sungwi baada ya swala adhuhuri. Kwa mujibu wa watu wa karibu na mzee Waziri, msiba upo…

Read More

New Journal of Humanities and Social Sciences ready to serve researches, writers across East Africa and the World

Scholars and researchers are invited to submit their novel ideas in the domains of Languages, Humanities, Social Sciences and Education in the form of research articles, book reviews, case studies, review articles and personal opinions that will benefit researchers in the specified areas as well as the society as a whole.   A group of dons from Across East…

Read More

Ecobank appoints digital payment partner to reach over 170 million digital customers

The customers of Ecobank, the Pan-African Banking Group in 33 African countries, can now transact with over 170 million mobile wallets across the continent Ecobank (www.Ecobank.com) The Pan-African bank announced on Dec12, 2018 the appointment of MFS Africa (www.MFSAfrica.com) as Digital payment partner enabling cross-platform payment services for Ecobank account holders. The partnership allows Ecobank customers to send and…

Read More

Tanzania is first African country to reach an important milestone in the regulation of medicines

Brazzaville   Tanzania is the first confirmed country in Africa to achieve a well-functioning, regulatory system for medical products according to the World Health Organization (WHO).   This means that the Tanzania Food and Drug authority (TFDA) has made considerable improvements in recent years in ensuring medicines in the healthcare system are of good quality, safe and produce the…

Read More